Hili ni shamba la Uwanaumwa ambalo linaonyesha sehemu mbalimbali za shamba likiwa na zao la muhogo inayotarajiwa kuvunwa mwezi April 2018
Monday, 2 April 2018
Monday, 30 October 2017
MORE UWANAUMWA'S PROJECTS
Sign Post-To UWANAUMWA's Farm
Kibao Kikielekeza Shambani Kwa UWANAUMWA.
Some Of the Bee hives in UWANAUMWA's farm in Isambara Biharamulo
Baadhi ya mizinga ya nyuki ya UWANAUMWA huko Isambara Biharamulo
Weeding from a glance in UWANAUMWA's Farm in Isambara Biharamulo
Mfanyakazi wa UWANAUMWA akipalilia Shamba huko Isambara Biharamulo
Saturday, 28 October 2017
Wednesday, 23 November 2016
DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT
DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha checking our Poultry activities during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha(Mrs)Akiendelea kukagua banda la pili lenye mradi wa ufugaji kuku za Uwanaumwa alipotembelea ofisi zetu 10/11/2016 katika ziara ya kikazi kata ya Igoma Jijini Mwanza.Nyuma ya Mh.DC.ni Katibu Mkuu wa Uwanaumwa Geofre Matata,Afisa utumishi wa Jiji la mwanza (Mwenye shati lekundu) na wageni mbalimbali.
DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT
DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha pleased with our operations during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya akifurahia jambo wakati akibadilishana mawazo na Afisa kilimo Katika ofisi ya Mkuu wa wilaya Nyamagana Ndg.Magafu kulia.Na Mh.Diwani wa kata ya Igoma,Katibu Mkuu wa Uwanaumwa na Afisa Mifugo wa kata ya Igoma.(hawapo pichani) 10/11/2016
Mh.Mkuu wa wilaya akifurahia jambo wakati akibadilishana mawazo na Afisa kilimo Katika ofisi ya Mkuu wa wilaya Nyamagana Ndg.Magafu kulia.Na Mh.Diwani wa kata ya Igoma,Katibu Mkuu wa Uwanaumwa na Afisa Mifugo wa kata ya Igoma.(hawapo pichani) 10/11/2016
The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.
The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.
Akiandika Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Akiandika Baadhi ya Maelekezo ya Mh.Mkuu wa wilaya(Hayupo pichani) alipokuwa akiyatoa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma akiwa ofisi za Uwanaumwa.Kutoka kushoto ni Ndg.Geofre Matata.Katibu mkuu wa Uwanaumwa.Mh.Diwani wa kata ya Igoma.Ndg.Magabe na Ndg.Ephraim Deffu Mkurugenzi Uwanaumwa.
Akiandika Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Akiandika Baadhi ya Maelekezo ya Mh.Mkuu wa wilaya(Hayupo pichani) alipokuwa akiyatoa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma akiwa ofisi za Uwanaumwa.Kutoka kushoto ni Ndg.Geofre Matata.Katibu mkuu wa Uwanaumwa.Mh.Diwani wa kata ya Igoma.Ndg.Magabe na Ndg.Ephraim Deffu Mkurugenzi Uwanaumwa.
Subscribe to:
Posts (Atom)