The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.
Akiandika Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Akiandika Baadhi ya Maelekezo ya Mh.Mkuu wa wilaya(Hayupo pichani) alipokuwa akiyatoa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma akiwa ofisi za Uwanaumwa.Kutoka kushoto ni Ndg.Geofre Matata.Katibu mkuu wa Uwanaumwa.Mh.Diwani wa kata ya Igoma.Ndg.Magabe na Ndg.Ephraim Deffu Mkurugenzi Uwanaumwa.
No comments:
Post a Comment