Establishment and Mandate
UMOJA WA WAJASILIAMALI NA UFUGAJI MWANZA (UWANAUMWA) is the Swahili word which means “The union of Entrepreneurs and Livestock/Pastoralists in Mwanza”. UWANAUMWA is a Non-profit organization founded in 2013 and registered in 2015 with Registration number RE.NO.S.A.20297 as Civil Society Organization (CSO), UWANAUMWA was established to make impact on the growth of entrepreneurs and livestock keepers in Mwanza Tanzania East Africa. UWANAUMWA deals with poultry
and livestock to be precise, ( UWANAUMWA engages with production and raising of hens, cows, goats, pigs, fish, bees and farming activities)
UMOJA WA WAJASILIAMALI NA UFUGAJI
MWANZA(UWANAUMWA)
Goal
- to promote cooperation to all the entrepreneurs, breeders and the to entire population closer to the operations of UWANAUMWA.
- to improve the lives of orphans and of other people living in vulnerable conditions.
- responding to community needs in primary schools, medical, economic, and victims of various disasters.
- to promote cooperation with governmental and non-governmental organizations to foster development.
Office Location
Visit our
head office at
Street Igoma
Kati,Igoma Ward, Musoma road. Opp. Olympic Petrol station Block No013/041 SQT.
Igoma District Nyamagana Mwanza region TANZANIA EAST AFRICA.
Vision
We envision
engaging the community in entrepreneurship and farming activities so that they can meet their basic needs.
Mission
To provide a joint platform for the members of Mwanza to combine the little they have so as they eventually get sound development .
OBJECTIVE
- Setting up multiple projects
- Raising capital by all legal available means
- Cooperating with the government of the United Republic of Tanzania through the local government.
UMOJA WA WAJASILIAMALI NA UFUGAJI MWANZA
(UWANAUMWA)
Umoja wa wajasiliamali na ufugaji Mwanza
lengo letu ni kuleta ushirikiano, amani, na mapendo kwa wajasiliamali na
wafugaji wote, na jamii nzima ya watanzania. Na kwa kuwa misingi hiyo yaweza tu
kutekelezwa katika Umoja wenye demokrasia, ambao watendaji wake ni huru, wanaotekeleza
wajibu wao bila woga wala upendeleo wowote, na hivyo kuhakikisha kwamba haki
zote za kila mwana Umoja zinadumishwa na kulindwa, na wajibu wa kila mwana Umoja unatekelezwa
kwa uaminifu.
Kutokana na hilo ilionekana kuna
umuhimu wa kuanzisha Umoja ambao utawaunganisha wajasiliamali na wafugaji wa
Mwanza, na Tanzania bara kwa ujumla, ili waweze kuwaelimisha wanachama wake na
jamii kwa ujumla kuishi katika hali ya kimaadili na kujishughulisha na
kazi halali za ujasiliamali na ufugaji. Iwapo
Umoja kitajiimarisha kiuchumi Umoja utawasaidia watoto yatima, walio katika
mazingira magumu, na katika mambo mbalimbali kama elimu, chakula katika shule
za msingi, mahitaji ya shuleni, matibabu na pia familia masikini au duni.
wajane, waathirika wa majanga
mbalimbali kama UKIMWI, moto, mafuriko
na nk. Chama pia kitakuwa na haki ya kukuza ushirikiano na asasi zisizo za
kiserikali na zilizo za kiserikali. za ndani na nje ya nchi.
Ulianzishwa mwaka 2013 ikiwa na wanachama waanzilishi 11
UWANAUMWA. Reg. No.S.A.20297
ilipata usajili wakudumu kutoka serikali kuu mwaka 2015 kama umoja wa wajasiliamali na ufugaji Mwanza {Uwanaumwa}
Makao
Makuu ya Ofisi
Makao makuu ya Umoja yatakuwa Kata ya Igoma mtaa wa Igoma kati, Wilaya ya
Nyamagana mkoa wa Mwanza.
Pia tunaweza kufungua ofisi ndogo za Umoja
wetu ndani ya Tanzania bara.
Dira
Kuona wana Umoja wanajishughulisha kwa
bidii ili kufikia malengo yao ya
kiuchumi katika shughuli za ujasiliamali na ufugaji kisha kuwasaidia wahitaji
wa misaada.
Dhima:
Kutoa huduma bora kwa wananchi na
kuboresha maisha ya wanachama wa Mwanza na Tanzania kwa ujumla.
Malengo
ya chama
a) Kuwawezesha
wana Umoja kimaendeleo na kiuchumi
b) Kutoa na
kupewa semina mbalimbali zinazohusu kazi
zetu za ujasiliamali na ufugaji
c) Kuanzisha miradi
mbalimbali
d) Kutafuta
mitaji kwa kukopa kutoka mabenki ili kuongeza uwezo wa mtaji kwa wanaumoja na
wanachama kwa ujumla.
e) Kushirikiana
na serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia mamlaka mbalimbali
za serikali kama serikali za mitaa, Kata, Wilaya Mkoa na Taifa kwa ujumla katika kutoa elimu ya ujasiliamali
na ufugaji ili watanzania wenzetu wajikwamue kiuchumi kupitia ujasiliamali na ufugaji.
No comments:
Post a Comment