DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha giving some advice to UWANAUMWA leaders during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza.Mary Tesha(Mrs) Akitoa ushauri na Maelekezo kwa viongozi wa Uwanaumwa na Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Baada ya kukamilika kwa zoezi la kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa iliyofanyika katika ofisi za Uwanaumwa 10/11/2016
Hongera mama kwa kazi nzuri unayoifanya.
No comments:
Post a Comment