DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha chatting with UWANAUMWA leaders during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mary Tesha (Mrs)Katikati. Akitoa maelekezo na ushauri kwa katibu mkuu wa Uwanaumwa na Afisa mifugo wa kata ya Igoma.Baada ya kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa. 10/11/2016 akiwa kwenye ziara ya kikazi Kata ya Igoma
No comments:
Post a Comment