java

Wednesday, 23 November 2016

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

Pleased with our operations was the DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha during her visit at one of our Production sites.

Mh.mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha (Mrs) Akikagua mradi wa Uwanaumwa wa ufugaji kuku.Alipotembelea ofisi zetu 10/11/2016 Akiwa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma Jijini Mwanza.Kutoka kushoto ni Katibu mkuu wa Uwanaumwa,Afisa mifugo wa kata ya Igoma,Afisa utumishi wa Jiji la mwanza na Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.

No comments:

Post a Comment