java

Wednesday, 23 November 2016

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT





DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha checking our Poultry activities during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha(Mrs)Akiendelea kukagua banda la pili lenye mradi wa ufugaji kuku za Uwanaumwa alipotembelea ofisi zetu 10/11/2016 katika ziara ya kikazi kata ya Igoma Jijini Mwanza.Nyuma  ya Mh.DC.ni Katibu Mkuu wa Uwanaumwa Geofre Matata,Afisa utumishi wa Jiji la mwanza (Mwenye shati lekundu) na wageni mbalimbali.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha pleased with our operations during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya akifurahia jambo wakati akibadilishana mawazo na Afisa kilimo Katika ofisi ya Mkuu wa wilaya Nyamagana Ndg.Magafu kulia.Na Mh.Diwani wa kata ya Igoma,Katibu Mkuu wa Uwanaumwa na Afisa Mifugo wa kata ya Igoma.(hawapo pichani) 10/11/2016

The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.

The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.
Akiandika Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Akiandika Baadhi ya Maelekezo ya Mh.Mkuu wa wilaya(Hayupo pichani) alipokuwa akiyatoa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma akiwa ofisi za Uwanaumwa.Kutoka kushoto ni Ndg.Geofre Matata.Katibu mkuu wa Uwanaumwa.Mh.Diwani wa kata ya Igoma.Ndg.Magabe na Ndg.Ephraim Deffu Mkurugenzi Uwanaumwa.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha giving some advice to UWANAUMWA leaders during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza.Mary Tesha(Mrs) Akitoa ushauri na Maelekezo kwa viongozi wa Uwanaumwa na Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Baada ya kukamilika kwa zoezi la kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa iliyofanyika katika ofisi za Uwanaumwa 10/11/2016
Hongera mama kwa kazi nzuri unayoifanya.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha getting some explanations form the chief secretary of UWANAUMWA during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha.(Mrs)Akipokea ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Uwanaumwa.Ndg.Geofre wakati wakitoka kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa uliopo Igoma mwanza 10/11/2016.Nyuma ya Mh.Mkuu wa wilaya ni Mh.Diwani wa Kata ya Igoma Ndg.Magabe.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha chatting with UWANAUMWA leaders during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mary Tesha (Mrs)Katikati. Akitoa maelekezo na ushauri kwa katibu mkuu wa Uwanaumwa na Afisa mifugo wa kata ya Igoma.Baada ya kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa. 10/11/2016 akiwa kwenye ziara ya kikazi Kata ya Igoma

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha checking our operations during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha (Mrs)Akiendelea kukagua mradi wa Uwanaumwa wa ufugaji kuku.Huku akitoa ushauri kwa katibu mkuu wa uwanaumwa Ndg.Geofre wa kwanza kushoto na Afisa Mifugo wa Kata ya Igoma(aliyevaa koti) 10/11/2016

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

Pleased with our operations was the DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha during her visit at one of our Production sites.

Mh.mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha (Mrs) Akikagua mradi wa Uwanaumwa wa ufugaji kuku.Alipotembelea ofisi zetu 10/11/2016 Akiwa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma Jijini Mwanza.Kutoka kushoto ni Katibu mkuu wa Uwanaumwa,Afisa mifugo wa kata ya Igoma,Afisa utumishi wa Jiji la mwanza na Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.