java

Monday, 2 April 2018

Shamba la Uwanaumwa likiwa na zao la Muhogo

 Hili ni shamba la Uwanaumwa ambalo linaonyesha sehemu mbalimbali za shamba likiwa na zao la muhogo inayotarajiwa kuvunwa mwezi April 2018


Shamba la Uwanaumwa - Isambara

Shamba la Uwanaumwa - Isambara lenye mmea wa muhogo unaotarajiwa kuvunwa mwezi May 2018




Monday, 30 October 2017

MORE UWANAUMWA'S PROJECTS

Sign Post-To UWANAUMWA's Farm
Kibao Kikielekeza Shambani Kwa UWANAUMWA.

Some Of the Bee hives in UWANAUMWA's farm in Isambara Biharamulo
Baadhi ya mizinga ya nyuki ya UWANAUMWA huko Isambara Biharamulo

Weeding from a glance in UWANAUMWA's Farm in Isambara Biharamulo
Mfanyakazi wa UWANAUMWA akipalilia Shamba huko Isambara Biharamulo

Saturday, 28 October 2017

Uwanaumwa Farm Isambara on mach 02/2017

                         Uwanaumwa Farm with cassava in Isambara Village on Mach 02/2017

Wednesday, 23 November 2016

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT





DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha checking our Poultry activities during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha(Mrs)Akiendelea kukagua banda la pili lenye mradi wa ufugaji kuku za Uwanaumwa alipotembelea ofisi zetu 10/11/2016 katika ziara ya kikazi kata ya Igoma Jijini Mwanza.Nyuma  ya Mh.DC.ni Katibu Mkuu wa Uwanaumwa Geofre Matata,Afisa utumishi wa Jiji la mwanza (Mwenye shati lekundu) na wageni mbalimbali.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha pleased with our operations during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya akifurahia jambo wakati akibadilishana mawazo na Afisa kilimo Katika ofisi ya Mkuu wa wilaya Nyamagana Ndg.Magafu kulia.Na Mh.Diwani wa kata ya Igoma,Katibu Mkuu wa Uwanaumwa na Afisa Mifugo wa kata ya Igoma.(hawapo pichani) 10/11/2016

The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.

The Ward Chancellor of Igoma Ward,Hon.Magabe taking notes following instructions from the DC.
Akiandika Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Akiandika Baadhi ya Maelekezo ya Mh.Mkuu wa wilaya(Hayupo pichani) alipokuwa akiyatoa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma akiwa ofisi za Uwanaumwa.Kutoka kushoto ni Ndg.Geofre Matata.Katibu mkuu wa Uwanaumwa.Mh.Diwani wa kata ya Igoma.Ndg.Magabe na Ndg.Ephraim Deffu Mkurugenzi Uwanaumwa.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha giving some advice to UWANAUMWA leaders during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza.Mary Tesha(Mrs) Akitoa ushauri na Maelekezo kwa viongozi wa Uwanaumwa na Mh.Diwani wa kata ya Igoma Ndg.Magabe.Baada ya kukamilika kwa zoezi la kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa iliyofanyika katika ofisi za Uwanaumwa 10/11/2016
Hongera mama kwa kazi nzuri unayoifanya.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha getting some explanations form the chief secretary of UWANAUMWA during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha.(Mrs)Akipokea ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Uwanaumwa.Ndg.Geofre wakati wakitoka kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa uliopo Igoma mwanza 10/11/2016.Nyuma ya Mh.Mkuu wa wilaya ni Mh.Diwani wa Kata ya Igoma Ndg.Magabe.

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha chatting with UWANAUMWA leaders during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mary Tesha (Mrs)Katikati. Akitoa maelekezo na ushauri kwa katibu mkuu wa Uwanaumwa na Afisa mifugo wa kata ya Igoma.Baada ya kukagua mradi wa ufugaji kuku wa Uwanaumwa. 10/11/2016 akiwa kwenye ziara ya kikazi Kata ya Igoma

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha checking our operations during her visit at one of our Production sites.
Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha (Mrs)Akiendelea kukagua mradi wa Uwanaumwa wa ufugaji kuku.Huku akitoa ushauri kwa katibu mkuu wa uwanaumwa Ndg.Geofre wa kwanza kushoto na Afisa Mifugo wa Kata ya Igoma(aliyevaa koti) 10/11/2016

DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha's visit to UWANAUMWA'S PROJECT

Pleased with our operations was the DC of Nyamagana Hon.Mary Tesha during her visit at one of our Production sites.

Mh.mkuu wa wilaya ya Nyamagana.Mary Tesha (Mrs) Akikagua mradi wa Uwanaumwa wa ufugaji kuku.Alipotembelea ofisi zetu 10/11/2016 Akiwa katika ziara ya kikazi kata ya Igoma Jijini Mwanza.Kutoka kushoto ni Katibu mkuu wa Uwanaumwa,Afisa mifugo wa kata ya Igoma,Afisa utumishi wa Jiji la mwanza na Mh.Mkuu wa wilaya ya Nyamagana.

Thursday, 13 October 2016

Site Visiting in Isambara Village Biharamulo

Charmian (right) and assistants looking for new site for buying in order to farm  

Site searching process..For Agriculture!

UWANAUMWA farm cleared special for farming (2016/207)

UWANAUMWA Secretry (right center with blue overall)  coming from the site Isamabara Village biharamulo to Mwanza

Chairman preparing chicken feeds.

Saturday, 24 September 2016

CHECK THE HARVEST!! (EGGS)

The chairman in the layers' residences about to pick Eggs!
Mwenyekiti akiwa ndani ya banda la kuku akiokota Mayai ya kuku.
chairman collecting eggs in the chicken house

The chairman himself after picking the  Eggs!
Mwenyekiti wa UWANAUMWA akitoka nje ya banda la kuku mara baada ya kuokota mayai
chairman out from  the chicken house

UWANAUMWA SHAMBA AT ISAMBALA







Plugging Beacons at ISAMBALA
Uwekaji alama za mipaka katika shamba la UWANAUMWA ISAMBALA
bacon inserting in the area of the farm

Closing the Transaction. The farmland is now in UWANAUMWA'S hands!
Mauziano ya shamba la UWANAUMWA ISAMBALA
Farm buying process UWANAUMWA Isambala Biharamolo Kagera

Closing the Transaction. The farmland is now in UWANAUMWA'S hands!
Mauziano ya shamba la UWANAUMWA ISAMBALA
Farm buying process UWANAUMWA Isambala Biharamolo Kagera

Plugging Beacons at ISAMBALA
Uwekaji alama za mipaka katika shamba la UWANAUMWA ISAMBALA
bacon inserting in the area of the farm

Plugging Beacons at ISAMBALA
Uwekaji alama za mipaka katika shamba la UWANAUMWA ISAMBALA
bacon inserting in the area of the farm

Clearing the ISAMBALA shamba
Usafishaji wa shamba la UWANAUMWA ISAMBALA kwa ajili ya kulima
cleaning process of the farm

Clearing the ISAMBALA shamba
Katibu mkuu akisimamia Usafishaji wa shamba la UWANAUMWA ISAMBALA kwa ajili ya kulima
cleaning process of the farm

Clearing the ISAMBALA shamba
Usafishaji wa shamba la UWANAUMWA ISAMBALA kwa ajili ya kulima
cleaning process of the farm
Beehive In UWANAUMWA FARM
Mzinga wa Nyuki katika Shamba la UWANAUMWA

LAYERS

Layers
kuku wa mayai

Layers
kuku wa mayai

Layers
kuku wa mayai